MAONYESHO YA SABASABA
MAONYESHO YA SABASABA
11 Sep, 2026
Msanii wa Muziki Nasib Abdul maarufu kama diamondplatnumz (katikati) ametembelea banda la COSOTA lililopo ndani ya kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo katika Maonyesho ya Kimataifa ya 50 ya sabasaba yanayoendelea jijini Dar es salaam Julai 11, 2026
