Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Paul Makonda kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Novemba 18, 2025 Ikulu jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Hamis Mwinjuma kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Novemba 18, 2025 Ikulu jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Hamis Mwinjuma kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Novemba 18, 2025 Ikulu jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo Novemba 18, 2025 Ikulu jijini Dodoma.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki COSOTA Bw. Philemon Kilaka (wapili kushoto) akikabidhi leseni kwa mwanzilishi wa Kampuni ya Society of Music Advocacy Limited (SOMA), Bw. Fareed Kubanda (wapili kulia) itakayofanya jukumu la kukusanya na kugawa mirabaha kwa kazi za muziki tarehe 23 Julai, 2025 Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki COSOTA Bw. Philemon Kilaka (katikati) akikabidhi leseni ya kukusanya na kugawa mirabaha kwa kazi za Maandishi kwa viongozi wa Kampuni ya Tanzania Reproduction Rights Society Limited (TANRRS), kutoka kushoto Bw. Abdullah Saiwaad pammoja na Bw. Hermes Damian (kulia) tarehe 24 Julai, 2025 Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kufunga Maonesho ya Tamasha Kimataifa la Filamu na Sanaa Ndg. Gerson Msigwa akiwa ametembelea banda la COSOTA Desemba 15,2025 Jijini Dar es Salaam .
Naibu Waziri Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma (aliyesimama kulia) na Naibu Waziri Uchukuzi Mhe. David Kihenzile wakishuhudia utiaji saini ya makubaliano ya pamoja baina ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania na Ofisi ya Hakimiliki Tanzania ya matumizi ya kazi za Muziki katika Viwanja vya ndege nchini, anayesaini kushoto ni Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Viwanja vya Ndege na Ndg. Abdul Mambokaleo na kulia anayesaini ni Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki Bi. Doreen Anthony Sinare, Januari 13,2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Ndg. Methuthela Stephen Ntonda kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Agosti, 2024.
Meneja Usajili na Kumbukumbu kutoka Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) Bw. Philemon Kilaka akitoa mafunzo ya hakimiliki na umuhimu wa usajili wa kazi za Sanaa na Uandishi kwa Wasanii na Waandishi wa vitabu wa Songea Mjini leo tarehe 27.04.2024. katika semina ya mafunzo kwa wadau hao iliyoandaliwa na taasisi zilizochini ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo zinazosimamia kazi za Sanaa nchini.